Rusia lleva a cabo una guerra vergonzosa contra Ucrania.     ¡Defiende a Ucrania!
Cómo apoyar a Ucrania 🇺🇦 ❤️
  • Nyashinski

    Now You Know

Compartir
Tamaño de fuente
Original

Letra de Now You Know

Huyo ni fala mgani anaweka ma mng'ari
Kwa list juu ya ferrari yeah
Ana degree au ni journalist tu juu ana list (whoop)
Naskia wakiuliza ule boy wetu alienda wapi
Amepotea ka zile mbegu watu walipanda na kanyari ye ye yeah
 
Na naskia inasemekana
Ati rap zangu hukam na mkazo na ile utamu ya reggae mama
Ma ordinary wanankubali na hata watiaji hawaezi kana
Kuna wale hupenda sauti yangu na iko wale husengenyana
Mama mama
Kijana wako amepotea
Ni maskio tu ye anatoboa huku ndugu zake wakiendelea
Mwenyezi pekee anaeza muokoa kimaisha amelegea
Ingawa hatuoni akitoboa bado twazidi kumuombea amina
 
Yeah sionangi haja ya ufisi
Sina njaa najua mpishi
Sijai fanya kazi ya ofisi
Sijai lala ka sijadishi
Sijarap kitu ka kutoka '06 ivi
Trust me siezi rust mimi
Ata niache mziki miaka hamsini
Nikirudi bado nawacrush nyinyi
Niko first mi ndani ya party
Na nguo rasmi imepigwa pasi
Hapo katikati napiga mic check
Juu niko party na niko night shift
Nilikuwa busy sikuwa najificha
Clearly you rappers missed your teacher
Vitu mnaandika zinachoma picha
Nikiwish singewacha kuwafundisha
Sauti naskia ni
 
Don't waste your time wishing you're too proud my baby
Too proud to wish they had an easy way out
Let times get tough so they remember you're a blessing
When life is good they will forget to say
 
Yeah!
Naulizwa mbona niliacha mziki
Ati nilikuwa mkali juu ya mic na namissiwa na mashabiki
Niliacha game mapema hata kabla refa hajapiga firimbi
Bila kwaheri ati walishtukia tu ati kuna klepto mmoja haimbi
Samahani nimepotea
Shukrani kwa wale wamenifikiria
Hizo miaka zote nimekuwa missing lakini iko kitu hamjaniambia
Kaa ningebaki bado ungekuwa na taki ya kuskia nikiwaimbia
Ama by saa hii mngekuwa mnanifanya vile mnafanya ma pioneer
Story kwa media ati nimechapa niko juu ya madawa nahangaika
Show ni ule jamaa aliimba 'Ada Ada' ebu come ucurtain raisie mnaija
It's not that serious rap ni hobby, bila mziki bado namanga
Ingekuwa career si ningekuwa nalia kuskia ati Naija Night Nairobi
Ambia new comer asijifeel sana
We ni mgeni siku ya kwanza tunakupenda
Ukikaa kaa tutachoka na wewe ivo ndio kuuenda
Mi ni ule mgeni alikaa siku mbili tu
Skukaa siku mingi nikuachie nafasi ya kuchoka na mimi
 
So now you know
Shinsky
So now you know
Beat ya Keggah
So now you know
Hey, humm, heeey...
 

 

Nyashinski: 3 más populares
Comentarios